Simba Sports Club
News

Mchezo wetu dhidi ya KMC kupigwa Sheikh Amri Abeid

22 May 2024

Mtanange huo ambao sisi ndio wenyeji utapigwa katika Uwanja huo saa 10 jioni na tunategemea utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani.

Tumeamua kuchagua Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kutokana na Viwanja vya nyumbani tunavyotumia kuwa na ratiba nyingine.

Advertisement
Back to homepage
Share this story