Baada ya kikosi kurejea jana usiku kutoka jijini Mwanza wachezaji walipewa mapumziko na kesho watafanya mazoezi kujiandaa na mchezo huo.
Utakuwa mchezo mgumu kutokana na nafasi waliyopo wenyeji JKT hasa ukizingatia wanacheza katika Uwanja wao wa nyumbani lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.
Advertisement
Malengo ya timu ni kupambana kupata ushindi kwenye kila mchezo.