Simba Sports Club
News

Mchezo wetu dhidi ya JKT Tanzania kupigwa Isamuhyo Alhamisi

13 Feb 2024

Baada ya kikosi kurejea jana usiku kutoka jijini Mwanza wachezaji walipewa mapumziko na kesho watafanya mazoezi kujiandaa na mchezo huo.

Utakuwa mchezo mgumu kutokana na nafasi waliyopo wenyeji JKT hasa ukizingatia wanacheza katika Uwanja wao wa nyumbani lakini tumejipanga kuhakikisha tunashinda.

Advertisement

Malengo ya timu ni kupambana kupata ushindi kwenye kila mchezo.

Back to homepage
Share this story