Simba Sports Club
News

Mchezo wetu dhidi ya JKT kupigwa Novemba 8

4 Nov 2025

Awali mchezo huo ulipangwa kuchezwa kesho Jumatano katika Uwanja huo huo wa Meja Jenerali Isamuhyo lakini sasa umesogezwa mbele hadi Jumamosi.

Maandalizi kuelekea mchezo huo yameanza mara moja baada ya kupokea ratiba kutoka TPLB.

Advertisement

Baada ya kukamilika kwa mchezo huo Ligi itasimama kupisha kalenda ya FIFA.

Back to homepage
Share this story