Simba Sports Club
News

Mchezo dhidi ya Pamba kupigwa Novemba 22

12 Nov 2024

Mchezo ambao ulikuwa Haujapangiwa tarehe sasa utapigwa Novemba 22 katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza saa 10 jioni.

Mchezo huo ututapigwa mara tu baada ya kumalizika kwa mechi za Kimataifa za kufuzu fainali za Afrika (AFCON).

Advertisement

Tayari kikosi kimeanza mazoezi tangu jana kujiandaa na mchezo huo na mara tu utakapomalizika kitaendelea na maandalizi ya mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravo.

Back to homepage
Share this story