Simba Sports Club
News

Mchezo dhidi ya KMC sasa kupigwa Jumatano

3 Nov 2024

Awali mchezo huo ulikuwa umepangwa kupigwa Jumanne ya Novemba 5 katika Uwanja wa KMC Complex sasa umepelekwa mbele siku moja.

Tayari kikosi chetu kimeanza maandalizi ya mchezo huo ambao tunategemea utakuwa mgumu kutokana na ubora wa wapinzani wetu.

Advertisement

Bodi ya Ligi imefanya mabadiliko mengine ambapo mchezo wetu namba 89 dhidi ya Pamba Jiji ambao ulipangwa upigwe Novemba 21 sasa utapangiwa tarehe nyingine.

Back to homepage
Share this story