Tayari uongozi wa klabu umepokea taarifa ya maandishi kutoka Bodi ya Ligi kuhusu mabadiliko hayo ya muda wa mchezo.
Maandalizi ya mchezo yanaendelea vizuri kila kitu kipo kama kilivyopangwa na kinachosubiriwa ni muda tu ufike mchezo huo upigwe hapo kesho.
Viingilio vya mchezo huo vipo kama ifuatavyo:
Advertisement
VIP A Sh 15,000
VIP B na C Sh 10,000
Mzunguko Sh 5000