Simba Sports Club
News

Mchezo dhidi ya Dodoma kesho kupigwa jioni

6 Mar 2022

Tayari uongozi wa klabu umepokea taarifa ya maandishi kutoka Bodi ya Ligi kuhusu mabadiliko hayo ya muda wa mchezo.

Maandalizi ya mchezo yanaendelea vizuri kila kitu kipo kama kilivyopangwa na kinachosubiriwa ni muda tu ufike mchezo huo upigwe hapo kesho.

Viingilio vya mchezo huo vipo kama ifuatavyo:

Advertisement

VIP A Sh 15,000

VIP B na C Sh 10,000

Mzunguko Sh 5000

Back to homepage
Share this story