Wachezaji wote waliocheza mechi yetu ya mwisho dhidi ya Azam FC wameshiriki mazoezi hayo na wapo kwenye hali nzuri tayari kwa mchezo wa huo.
Morali ya wachezaji ipo juu na kila mmoja amefanya jitihada mazoezini ili kulishawishi benchi la ufundi kumpa nafasi kesho.
Advertisement
Pointi tatu katika mchezo wa kesho ni muhimu kwetu kwakuwa tunahitaji kurudisha hali ya kujiamini kwa wachezaji mpaka mashabiki.