Simba Sports Club
News

Matola apata mualiko Ghana

6 Jun 2023

Mashindano hayo yamendaliwa na Taasisi ya Gateway Tours & Sports inayojihusisha na kuandaa mashindano ya mpira wa miguu na matukio mbalimbali ya kimichezo.

Katika mashindano hayo Taasisi hiyo imealika makocha na maskauti kutoka maeneo mbalimbali duniani akiwemo Matola.

Advertisement

Taasisi Gateway Tours & Sports italipia waalikwa wote gharama za tiketi, malazi na Chakula kwa muda wote wa mashindano.

Mashindano haya yataambatana na mafunzo ya kutambua na kuendeleza vipaji kwa wachezaji vijana.

Back to homepage
Share this story