Mchezo huo wa kufuzu fainali za Afrika (AFCON) umepigwa nchini Misri katika Uwanja wa Canal Suez mjini Ismailia huku Uganda wakiwa ndio wenyeji.
Manula na Mzamiru wakishirikiana na nyota wengine wa Stars wamepambana mpaka dakika ya mwisho kuhakikisha wanatetea bendera ya nchi na wamefanikiwa.
Advertisement
Mlinda mlango namba mbili Beno Kakolanya yeye hajapata nafasi ya kucheza lakini alikuwa kwenye benchi.