Simba Sports Club
News

Manula, Mzamiru watwanga zote Stars ikiichapa Uganda, Misri

24 Mar 2023

Mchezo huo wa kufuzu fainali za Afrika (AFCON) umepigwa nchini Misri katika Uwanja wa Canal Suez mjini Ismailia huku Uganda wakiwa ndio wenyeji.

Manula na Mzamiru wakishirikiana na nyota wengine wa Stars wamepambana mpaka dakika ya mwisho kuhakikisha wanatetea bendera ya nchi na wamefanikiwa.

Advertisement

Mlinda mlango namba mbili Beno Kakolanya yeye hajapata nafasi ya kucheza lakini alikuwa kwenye benchi.

Back to homepage
Share this story