Simba Sports Club
News

Manula Kipa Bora VPL, ASFC

21 Oct 2021

Mlinda mlango wetu Aishi Manula ameibuka Kipa Bora wa Ligi Kuu na Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC) Msimu wa 2020/21.

Hii inakuwa mara ya tano mfululizo kwa Manula kushinda tuzo hiyo.

Advertisement

Manula amekuwa kwenye kiwango bora kuanzia Simba na katika kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)

Back to homepage
Share this story