Simba Sports Club
News

Manula arejea langoni Stars

4 Jun 2022

Manula alipata majeraha ya kuumia vidole vya viwili vya mikono wakati wa maandalizi ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Geita Gold uliopigwa Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza Mei 22.

Baada ya jeraha hilo Manula alikosa mchezo wa Nusu Fainali ya Azam Sports Federation (ASFC) dhidi ya Yanga na leo anarejea langoni baada ya takribani wiki mbili.

Advertisement

Nahodha wetu msaidizi Mohamed Hussein naye ameanza katika kikosi cha kwanza cha Stars huku Kibu Denis, Mzamiru Yassin na Kennedy Juma wakiwa benchi.

Back to homepage
Share this story