Simba Sports Club
News

Manula arejea langoni Kimataifa baada ya muda mrefu

23 Feb 2024

Mara ya mwisho Manula kucheza mechi ya kimataifa ilikuwa mchezo dhidi ya Horoya uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa Machi 18 mwaka jana na toka hapo hajacheza tena kutokana na kukumbwa na majeraha yaliomuweka nje ya uwanja kwa miezi mitano.

Kwa upande wake mlinzi Henock Inonga nae ameanza ikiwa ni mchezo wake wa kwanza tangu arejee kikosini kutoka kwenye michuano ya AFCON.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Advertisement

Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Che Malone (20), Henock Inonga (29), Babacar Sarr (33), Saido Ntibazonkiza (10), Sadio Kanoute (8), Pa Omar Jobe (2), Fabrice Ngoma (6), Clatous Chama (17).

Ally Salim (1), David Kameta (3), Israel Mwenda (5), Kennedy Juma (26), Abdallah Hamisi (13), Mzamiru Yassin (19), Kibu Dennis (38), Luis Miquissone (11), Freddy Kouablan(18).

Back to homepage
Share this story