Simba Sports Club
News

Mambo matano usiyojua kuhusu mchezo wetu dhidi ya Azam

7 May 2023

2. Azam haijawahi kutufunga kwenye Kombe la Shirikisho tangu kuanzishwa kwake, tumekutana nae mara tatu zote tumeibuka na ushindi hii leo ni mara ya nne tunakutana.

3. Julai Mosi, 2020 Robo Fainali

Simba 2-0 Azam (John Bocco, Clatous Chama) - Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Aprili 29, 2017 Nusu Fainali

Simba 1-0 Azam (Mohamed Ibrahim) Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Advertisement

Juni 26, 2021 Nusu Fainali

Azam 0-1 Simba (Luis Miquissonne) Uwanja wa Majimaji, Songea.

4. Simba ndo timu iliyocheza nusu fainali nyingi ya Kombe la Shirikisho kuliko yeyoye ikiwa imecheza nne ya leo ikiwa ya tano.

5. Hii ni nusu fainali ya pili mfululizo mlinda mlango namba moja Aishi Manula anakosekana langoni kwa sababu ya majereha.

Back to homepage
Share this story