Baraka amesema hayo katika kipindi Maalum cha 'LunyasiPodcast' ambacho mashabiki na Viongozi watakuwa wanahojiwa kuzungumzia Klabu yao.
Tazama mahojiano haya hadi mwisho, Baraka ameulizwa kuhusu uelewa wa mambo mbalimbali ukiwemo namba za jezi za wachezaji wetu.