Simba Sports Club
News

LIVE: Magori Afunguka tulichowafanya Nkana 2018

12 Oct 2022

Magori ambaye wakati huo alikuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Klabu asimulia Bosi wao alivyoshangazwa na umati mkubwa wa Wanasimba aliokuta njiani wakati wanaelekea uwanjani. Asema alivyoona vile tu akajua shughuli itakuwa pevu uwanjani.

Magori amefunguka mengi Endelea kutazama Video..

Advertisement
Back to homepage
Share this story