Simba Sports Club
News

Kwaheri Kocha wa Makipa Zakaria Chlouha

15 Jun 2023

Kocha Zakaria amejiunga na kikosi chetu Novemba mwaka jana, kutokana na maboresho makubwa ya timu ambayo tumejipanga kufanya tumekubalina kutoendelea nae.

Simba inamshukuru Zakaria kwa kazi kubwa aliyofanya akiwa na kikosi chetu na tunamtakia kila la kheri katika maisha yake mapya ya mpira huko aendapo.

Advertisement

Uongozi wa klabu unaendelea na mchakato wa kutafuta mbadala wa Zakaria kabla ya kuanza kwa maandalizi ya msimu mpya (Pre season).

Back to homepage
Share this story