Simba Sports Club
News

Kwaheri Augustine Okejepha

13 Jul 2025

Okejepha 25, amejiunga nasi msimu uliopita akitokea Rivers United ya nchini kwao Nigeria kwa mkataba wa miaka miwili ambao umefikia tamati baada ya makubaliano.

Okejepha ni mchezaji mwenye uwezo na kipaji kikubwa ingawa hakuweza kupata muda mwingi wa kucheza.

Advertisement

Simba inamtakia kheri na mafanikio mema katika maisha yake mapya nje ya kikosi chetu.

Back to homepage
Share this story