Viingilio hivyo vimetangazwa leo ikiwa ni siku nne kabla ya mchezo wenyewe ili kuwapa nafasi mashabiki kukata tiketi mapema.
Mchezo na watani wa jadi huvuta hisia za mashabiki wengi ambapo wengine hutoka nje ya nchi kuja kushuhudia.
Hivi hapa viingilio vyenyewe
Advertisement
VIP A Sh 30,000
VIP B Sh 20,000
Mzunguko Sh 10,000