Nyota hao wameungana na wenzao kambini jana nchini Uturuki kuendelea na maandalizi ya msimu mpya wa mashindano.
Kabla ya kuanza mazoezi ya uwanjani pamoja na wenzao wametakiwa kuanzia gym ili kutengeneza utimamu wa mwili.
Advertisement
Wachezaji hao wataendelea na programu ya mazoezi pamoja na wenzao jioni.