Kitta alikuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi miaka minne iliyopita upande wa wanachama baada ya kuchaguliwa kupitia uchaguzi mkuu.
Kitta anaungana na Wajumbe wengine wanne ambao wameteuliwa na Rais Mo miezi mitatu iliyopita wakiwa upande wa muwekezaji.
Advertisement
Wajumbe hao walioteuliwa na Rais Mo kabla ya Kitta ni Dk. Raphael Chageni, Hamza Johari, Zulfikar Chandoo na Rashidi Shangazi.