Kinana anakuwa miongoni mwa viongozi wa chama na serikali ambao wamewahi kualikwa kuwa wageni rasmi katika mechi zetu.
Mara zote tumekuwa tukialika viongozi wa serikali kwenye mechi zetu za kimataifa ili kuziongezea thamani.
Advertisement
Katika mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi uliofanyika Aprili 3 tulimualika Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye.