Simba Sports Club
News

Kinana Mgeni rasmi mchezo wetu dhidi ya Orlando

17 Apr 2022

Kinana anakuwa miongoni mwa viongozi wa chama na serikali ambao wamewahi kualikwa kuwa wageni rasmi katika mechi zetu.

Mara zote tumekuwa tukialika viongozi wa serikali kwenye mechi zetu za kimataifa ili kuziongezea thamani.

Advertisement

Katika mchezo wetu wa mwisho wa hatua ya makundi uliofanyika Aprili 3 tulimualika Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye.

Back to homepage
Share this story