Utakuwa mchezo mgumu tunawaheshimu watani kutokana na ubora na aina ya wachezaji walionao lakini tumejipanga kuhakikisha tunapambana kupata pointi zote tatu.
Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:
Moussa Camara (26), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Abdulrazack Hamza (14), Che Malone (20), Yusuph Kagoma (21), Kibu Denis (38), Debora Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Jean Charles Ahoua (10), Joshua Mutale (7).
Advertisement
Wachezaji wa Akiba:
Ally Salim (1), Kelvin Kijili (33), Karaboue Chamou (2), Fabrice Ngoma (6), Awesu Awesu (23), Augustine Okejepha (25), Edwin Balua (37), Steven Mukwala (11), Shadrack Daniel (52), Benjamin William (50).