Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Stellenbosch Leo

27 Apr 2025

Kocha Mkuu, Fadlu Davids amepanga kikosi kile kile kilichocheza mechi ya mkondo wa kwanza uliopigwa Uwanja wa Amaan Zanzibar, Aprili 20 tulioibuka na ushindi wa bao moja.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Karaboue Chamou (2), Abdurazak Hamza (14), Yusuph Kagoma (21), Kibu Denis (38), Fabrice Ngoma (6), Steve Mukwala (11), Jean Charles Ahoua (10), Elie Mpanzu (34).

Advertisement

Wachezaji wa Akiba:

Ally Salim (1), David Kameta (3), Valentine Nouma (29), Edwin Balua (37), Debora Fernandes (17), Awesu Awesu (23), Leonel Ateba (13), Che Fondoh Malone (20).

Back to homepage
Share this story