Queens itaingia kwenye mchezo wa leo tukiwa na kumbukumbu ya ushindi mabao 6-0 tuliopata juzi dhidi ya Garde Republicains ya Djibouti katika mchezo wa kwanza.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
Gelwa yonah (21), Diana William (15), Fatuma Issa (5),Esther Mayala (23),Daniela Kanyanya (22), Vivian Corazone (4), Pambani Kuzoya (17), Joelle Bukuru (18), Opa Clement (7), Asha Djafari (24)
Advertisement
Philomena Abakah (27).
Wachezaji wa Akiba.
Zubeda Mgunda (29), Doto Evarist (11), Silvia Mwacha (12), Violeth Nicholaus (26), Topister Situma (13), Olaiya Barakat (9), Amina Ramadhani (14), Aisha Juma (10) Sarrive Badiambila (2).