Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya RS Berkane Leo

25 May 2025

Kocha Mkuu Fadlu Davids amefanya mabadiliko ya mchezaji watatu ukilinganisha na kikosi kilichoanza mechi ya mkondo wa kwanza iliyopigwa nchini Morocco wiki iliyopita.

Fadlu amewaanzisha Che Fondoh Malone, Joshua Mutale na Steven Mukwala kuchukua nafasi za Abdulrazack Hamza, Kibu Denis na Leonel Ateba.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Advertisement

Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Karaboue Chamou (2), Che Malone (20), Yusuph Kagoma (21), Joshua Mutale (26), Fabrice Ngoma (6), Steven Mukwala (11), Jean Charles Ahoua (10), Elie Mpanzu (34).

Wachezaji wa Akiba:

Ally Salim (1), David Kameta (3), Valentine Nouma (29), Augustine Okajepha (25), Ladaki Chasambi (36), Deborah Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Awesu Awesu (23), Kibu Denis (38).

Back to homepage
Share this story