Mkude atacheza sambamba na Mzamiru Yassin katika idara ya kiungo wa ulinzi huku Henock Inonga na Kennedy Juma wakisimama kama walinzi wa kati.
Habib Kyombo ataongoza mashambulizi pamoja na Moses Phiri huku Clatous Chama na Pape Sakho wakitokea pembeni kuwapa msaada.
Kikosi kamili kilivyopangwa
Advertisement
Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Kennedy Juma (26), Henock Inonga (29), Jonas Mkude (20), Clatous Chama (17), Mzamiru Yassin (19), Habib Kyombo (32), Moses Phiri (25), Pape Sakho (10).
Wachezaji wa akiba
Beno Kakolanya (30), Israel Patrick (5), Erasto Nyoni (18), Nassor Kapama (35), Augustine Okrah (27), Nelson Okwa (8), Dejan Georgijevic (7), Joash Onyango (16), Kibu Denis (38).