Kiungo mkabaji Mzamiru Yassin amemaliza adhabu yake ya kutumikia kadi tatu za njano na ataanza pamoja na Jonas Mkude.
Moses Phiri ataendelea kuongoza safu ya ushambuliaji ambapo ataendelea kupata msaada wa karibu kutoka kwa Clatous Chama, Pape Sakho na Augustine Okrah.
Kikosi kamili
Advertisement
Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (12), Joash Onyango (16), Henock Inonga (29), Jonas Mkude (20), Pape Sakho (10), Mzamiru Yassin (19), Moses Phiri (25), Clatous Chama (17), Augustine Okrah (27).
Wachezaji wa Akiba
Beno Kakolanya (30), Gadiel Michael (2), Kennedy Juma (26), Mohamed Ouattara (33), Victor Akpan (6), Peter Banda (11), Nassor Kapama (35), Habib Kyombo (32), Kibu Denis (38).