Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Mbeya City leo

23 Nov 2022

Katika mchezo uliopita ambao tuliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Ruvu Shooting Bocco aliongoza mashambulizi na kupiga hat trick.

Bocco atasaidiana na kinara Moses Phiri ambapo wapata msaada kutoka kwa viungo wawili washambuliaji Clatous Chama na Augustine Okrah.

Kikosi kamili kilivyopangwa

Advertisement

Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Joash Onyango (16), Henock Inonga (29), Jonas Mkude (20), Clatous Chama (17), Mzamiru Yassin (19), John Bocco (22), Moses Phiri (25), Augustine Okrah (27).

Wachezaji wa Akiba

Beno Kakolanya (30), Erasto Nyoni (18), Gadiel Michael (2), Kennedy Juma (26), Mohamed Ouattara (33), Victor Akpan (6), Pape Sakho (10), Habibu Kyombo (32), Kibu Denis (38).

Back to homepage
Share this story