Kibu apata msaada wa karibu kutoka kwa viungo washambuliaji Rally Bwalya na Pape Ousmane Sakho.
Erasto Nyoni amepangwa kama kiungo mkabaji pamoja na Mzamiru Yassin na Sadio Kanoute.
Henock Inonga na Pascal Wawa watasimama kama mabeki wakati huku nahodha Mohamed Hussein na Israel Patrick wakicheza pembeni.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
Advertisement
Beno Kakolanya (30), Israel Patrick (5), Mohamed Hussein (15), Henock Inonga (29), Pascal Wawa (6), Erasto Nyoni (18), Mzamiru Yassin (19), Sadio Kanoute (13), Kibu Denis (38), Rally Bwalya (8), Pape Sakho (10)
Wachezaji wa Akiba
Ally Salim (1), Gadiel Michael (2), Kennedy Juma (26), Taddeo Lwanga (4), Yusuf Mhilu (27), Medie Kagere (14), Peter Banda (11), Jimmyson Mwanuke (21).