Kocha Mkuu, Fadlu Davids amefanya mabadiliko ya wachezaji nane ukilinganisha na kile kilichocheza wikiendi iliyopita mechi ya robo fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Al Masry.
Ni nyota watatu tu ambao walianza dhidi ya Al Masry ambao ni Karaboue Chamou, Abdulrazack Hamza na Fabrice Ngoma na wameanza tena leo mbele ya Mbeya City.
Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa
Ally Salim (1), David Kameta (3), Valentin Nouma (29), Karaboue Chamou (2), Abdurazak Hamza (14), Fabrice Ngoma (6), Ladaki Chasambi (36), Debora Fernandes (17), Leonel Ateba (13), Awesu Awesu (13), Joshua Mutale (7),
Wachezaji wa Akiba:
Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (2), Yusufu Kagoma (21), Augustine Okejepha (25), Edwin Balua (37), Elie Mpanzu (34), Steven Mukwala (11), Denis Kibu (38), Alexander Erasto (42), Adolf Hamisi (50).