Simba Sports Club
News

Kikosi Kitakachotuwakilisha dhidi ya Green Buffalos

5 Nov 2022

Walinzi Violet Nicholas na Diana Mnali wameanza kwenye kikosi cha leo wakichukua nafasi na Esther Erastus na Silvia Thomas wakati viungo washambuliaji Olaiya Barakat na Philomena Abaka wakichukua nafasi za Vivian Corazone na Asha Djafar.

Nahodha Opa Clement ataendelea kuongoza safu ya ushambuliaji sambamba na Aisha Juma wakipewa msaada wa karibu kutoka kwa Pambani Kuzoya, Philomena na Olaiya.

Kikosi Kamili kilivyopangwa

Advertisement

Gelwa Yonah (21), Fatuma Issa (5), Diana Mnali (15), Daniela Kanyanya (22), Violet Nicholas (26), Joelle Bukuru (18), Pambani Kuzoya (17), Olaiya Barakat (9), Aisha Juma (10), Opa Clement (7), Philomena Abakah (6).

Wachezaji wa Akiba

Zubeda Mohamed (20), Dotto Evarist (11) Wema Maile (3), Koku Ally (19), S’arrive Badiambila (2), Topister Situma (13), Vivian Corazone (4), Amina Hemedi (14) Jackline Albert (16), Asha Djafari (24).

Back to homepage
Share this story