Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Geita Leo

18 Dec 2022

Bocco na Phiri wametengeneza muelewano mzuri na imekuwa chachu ya ushindi tunaendelea kupata katika mechi zetu.

Wawili hao watapata msaada wa karibu kutoka kwa viungo washambuliaji, Clatous Chama na Pape Sakho ambao watashambulia kutokea pembeni.

Kikosi kamili kilivyopangwa

Advertisement

Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Joash Onyango (16), Henock Inonga (29), Sadio Kanoute (13), Clatous Chama (17), Mzamiru Yassin (19), Bocco (22), Moses Phiri (25), Pape Sakho (10).

Wachezaji wa Akiba

Beno Kakolanya (30), Erasto Nyoni (18), Kennedy Juma (26), Mohamed Ouattara (33), Jonas Mkude (20), Victor Akpan (6), Kibu Denis (38), Habibu Kyombo (32), Augustine Okrah (27).

Back to homepage
Share this story