Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Fountain Gate

15 Apr 2026

Kocha Mkuu Steve Barker amefanya mabadiliko ya wachezaji wawili ukilinganisha na kikosi kilichocheza mechi iliyopita ya hatua ya 16 bora ya CRDB Federation Cup dhidi ya Dodoma Jiji.

Barker amemuanzisha David Kameta 'Duchu' na Allasane Kante wakichukua nafasi za Shomari Kapombe na Yusuph Kagoma.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Advertisement

Djibrilla Kassali (39), David Duchu (15), Nickson Kibabage (32), Ismail Toure (25), Rushine De Reuck (23), Allasane Kante (8), Libasse Gueye (7), Neo Maema (35), Seleman Mwalimu (40), Clatous Chama (17), Anicet Oura (20).

Wachezaji wa Akiba:

Hussein Abel (28), Anthony Mligo (5), Vedastus Masinde (4), Hussein Mbegu (60), Daud Semfuko (37), Elie Mpanzu (34), Inno loemba (10), Baraka Mwanagosi (11), Morice Abraham (18), Ladack Chasambi (36).

Back to homepage
Share this story