Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Big Bullets

18 Sep 2022

Katika mchezo wa leo Phiri atapata msaada wa karibu kutoka kwa viungo washambuliaji Clatous Chama, Kibu Denis na Augustine Okrah.

Sadio Kanoute amerejea kikosini na ataongoza safu ya kiungo wa ulinzi pamoja na Mzamiru Yassin.

Kikosi kamili kilivyopangwa

Advertisement

Aishi Manula (28), Israel Patrick (5), Mohamed Hussein (15), Kennedy Juma (26), Henock Inonga (29), Sadio Kanoute (13), Kibu Denis (38), Mzamiru Yassin (19), Moses Phiri (25), Clatous Chama (17), Augustine Okrah.

Wachezaji wa Akiba

Beno Kakolanya (30), Erasto Nyoni (18), Mohamed Ouattara (33), Jonas Mkude (20), Pape Sakho (10), Nelson Okwa (8), Dejan Georgijevic (7), John Bocco (22), Peter Banda (11).

Back to homepage
Share this story