Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Dhafrah leo

13 Jan 2023

Bocco atapata msaada wa karibu kutoka viungo watatu washambuliaji, Clatous Chama, Saido Ntibazonkiza na Pape Sakho.

Katika eneo la katikati ya uwanja Kocha Roberto Oliviera 'Robertinho' amewapanga Jonas Mkude na Sadio Kanoute kwenye kiungo wa ulinzi.

Kikosi Kamili kilivyopangwa

Advertisement

Aishi Manula (28), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Joash Onyango (16), Kennedy Juma (26), Jonas Mkude (20), Pape Sakho (10), Sadio Kanoute (13), John Bocco (22), Said Ntibazonkiza (39), Clatous Chama (17).

Wachezaji wa Akiba

Beno Kakolanya (30), Ally Salim (1), Jimmyson Mwanuke (21), Gadiel Michael (2), Mohamed Ouattara (33), Erasto Nyoni (18), Nassor Kapama (35), Mzamiru Yassin (19), Habibu Kyombo (32), Kibu Denis (38).

Back to homepage
Share this story