Simba Sports Club
News

Kikosi kitakachotuwakilisha dhidi ya Al Ahli Tripoli

15 Sep 2024

Mshambuliaji Leonel Ateba ataongoza mashambulizi kwa mara ya kwanza katika mechi rasmi baada ya kufanya hivyo kwenye mechi za mbili za kirafiki zilizopita.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Moussa Camara (40), Shomari Kapombe (12), Mohamed Hussein (15), Abdulrazak Hamza (14), Che Malone (20), Yusuph Kagoma (21), Edwin Balua (37), Debora Fernandez (17), Leonel Ateba (13), Jean Ahoua (10), Joshua Mutale (26).

Advertisement

Wachezaji wa Akiba:

Ally Salim (1), Karaboue Chamou (2), Kelvin Kijili (33), Fabrice Ngoma (6), Awesu Awesu (23), Augustine Okajepha (25), Valentino Mashaka (27), Kibu Denis (38), Steven Mukwala (11)

Back to homepage
Share this story