Phiri ambaye amefunga mabao mawili kwenye mechi zetu mbili za kwanza atapata msaada wa karibu kutoka kwa viungo washambuliaji Clatous Chama, Pape Sakho na Augustine Okrah.
Nassor Kapama na Sadio Kanoute wamepangwa katika idara ya kiungo waulinzi huku Henock Inonga na Mohamed Ouattara wakiongoza safu ya ulinzi.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
Aishi Manula (28), Israel Patrick (5),
Advertisement
Mohamed Hussein (15), Henock Inonga (29), Mohamed Ouattara (33), Nassor Kapama (35), Pape Sakho (10), Sadio Kanoute (13), Moses Phiri (25), Clatous Chama (17), Augustine Okrah (27).
Wachezaji wa Akiba
Beno Kakolanya (30), Erasto Nyoni (18), Kennedy Juma (26), Mzamiru Yassin (19), Kibu Denis (38), Nelson Okwa (8), Dejan Georgijevic (7), Habibu Kyombo (32), John Bocco (22).