Phiri atapa msaada wa karibu kutoka kwa viungo washambuliaji Clatous Chama, Pape Sakho na Agustine Okrah.
Nassor Kapama na Victor Akpan watasimama katika kiungo wa ulinzi wakati mabeki wakati ni wale wale Henock Inonga na Mohamed Ouattara.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
Advertisement
Ally Salim (1), Israel Patrick (5), Gadiel Michael (2), Henock Inonga (29), Mohamed Ouattara (33), Nassor Kapama (35), Pape Sakho (10), Victor Akpan (6), Moses Phiri (25), Clatous Chama (17), Augustine Okrah (27).
Wachezaji wa Akiba
Ahmed Feruzi (31), Jimmyson Mwanuke (21), Nelson Okwa (8), Dejan Georgijevic (7), Peter Banda (11)