Kikosi chetu cha wachezaji 24 kinaondoka leo kuelekea Botswana tayari kwa mchezo wetu wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy.
Mchezo huo wa hatua ya kwanza utapigwa Jumapili saa 10 jioni katika Uwanja wa Taifa wa Botswana.
Kikosi Kamili kitakachosafiri.
Makipa
1. Ally Salim
2. Beno Kakolanya
3. Aishi Salum
Mabeki
4. Shomari Kapombe
5. Israel Mwenda
6. Gadiel Michael
7. Kennedy Juma
8. Pascal Wawa
9. Henock Inonga
10. Erasto Nyoni
11. Mohamed Hussein
Advertisement
12. Joash Onyango
Viungo
13. Sadio Kanoute
14. Taddeo Lwanga
15. Mzamiru Yassin
16. Rally Bwalya
17. Hassan Dilunga
18. Jimmyson Mwanuke
19. Ibrahim Ajib
20. Duncan Nyoni
21.Peter Banda
22. Bernard Morrison
Washambuliaji
23. John Bocco
24. Medie Kagere