Simba Sports Club
News

Kikosi kinachosafiri kwenda Botswana

15 Oct 2021

Kikosi chetu cha wachezaji 24 kinaondoka leo kuelekea Botswana tayari kwa mchezo wetu wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy.

Mchezo huo wa hatua ya kwanza utapigwa Jumapili saa 10 jioni katika Uwanja wa Taifa wa Botswana.

Kikosi Kamili kitakachosafiri.

Makipa

1. Ally Salim

2. Beno Kakolanya

3. Aishi Salum

Mabeki

4. Shomari Kapombe

5. Israel Mwenda

6. Gadiel Michael

7. Kennedy Juma

8. Pascal Wawa

9. Henock Inonga

10. Erasto Nyoni

11. Mohamed Hussein

Advertisement

12. Joash Onyango

Viungo

13. Sadio Kanoute

14. Taddeo Lwanga

15. Mzamiru Yassin

16. Rally Bwalya

17. Hassan Dilunga

18. Jimmyson Mwanuke

19. Ibrahim Ajib

20. Duncan Nyoni

21.Peter Banda

22. Bernard Morrison

Washambuliaji

23. John Bocco

24. Medie Kagere

Back to homepage
Share this story