Simba Sports Club
News

Kikosi kilichosafiri kuifuata Gaborone United nchini Botswana

17 Sep 2025

Kikosi kimeondoka na wachezaji 22 benchi la ufundi pamoja na baadhi ya watu kutoka kwenye Menejimeti.

Hiki hapa kikosi kamili kilichosafiri:

Makipa:

Moussa Camara, Yakoub Suleiman na Alexander Erasto

Walinzi

Advertisement

Shomari Kapombe, Anthony Mligo,Rushine De Reuck, Karabou Chamou, Wilson Nangu na Naby Camara.

Viungo

Allasane Kante, Kibu Denis, Elie Mpanzu, Ladaki Chasambi, Mzamiru Yassin, Neo Maema, Joshua Mutale, Jean Charles Ahoua, Morice Abraham na Daudi Semfuko

Washambuliaji

Steven Mukwala, Seleman Mwalimu na Jonathan Sowah.

Back to homepage
Share this story