Kikosi kilifanya mazoezi ya utimamu wa mwili asubuhi mkoani Tabora kabla ya kuanza safari kutokana na kucheza mechi dhidi ya Tabora United jana.
Wachezaji wote wapo kwenye hali nzuri na kesho watafanya mazoezi ya mwisho kabla ya kuivaa Azam FC Ijumaa.
Viingilio vya mchezo vitakuwa kama ifuatavyo:
Advertisement
Vip A - 20,000
Vip B - 10,000
Mzunguko - 5000