Simba Sports Club
News

Kikosi charejea, wachezaji wapewa mapumziko

9 Oct 2023

Kwa sasa tuko kwenye mapumziko ya Kalenda ya FIFA ambayo inaanza Oktoba 9-17, hivyo Ligi itasimama kupisha mechi za timu za taifa kwa hiyo katika kipindi hiki wachezaji watapumzika.

Wakati huo huo wchezaji walioitwa timu zao za taifa wameruhusiwa kwenda kujiunga nazo kutumikia mataifa yao.

Advertisement

Baada ya ratiba ya kalenda ya FIFA kumalizika kikosi kitarejea haraka kambini kujiandaa na mchezo wa ufunguzi wa African Football League dhidi ya Al Ahly utakaopigwa Oktoba 20.

Back to homepage
Share this story