Simba Sports Club
News

Kikosi chafanyiwa vipimo vya Covid -19

10 Feb 2023

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limeweka utaratibu wa kabla ya mchezo wowote lazima kufanyike vipimo vya Covid-19 ili kuchukua tahadhari ya ugonjwa huo ambao ulitikisa dunia.

Hata hivyo, hakuna cha kuhofia kwa kuwa hakuna yeyote miongoni mwetu kwenye msafara wetu ambaye ameonyesha dalili za ugonjwa huo lakini kwa kuwa ni takwa la kikanuni kutoka CAF hivyo lazima tufanye.

Advertisement

Majibu ya vipimo hivyo yatatolewa saa 12 baada ya zoezi kukamilika na yatawekwa hadharani.

Back to homepage
Share this story