Simba Sports Club
News

Kikosi chaanza safari kuelekea Morocco

29 Mar 2023

Kikosi kilitakiwa kuondoka jana lakini Ndege tuliyokuwa tunasafiria ilipata hitilafu iliyofanya safari kushindwa kuendelea.

Timu inatarajia kufika leo jioni ambapo itapitia Qatar kabla ya kuunganisha hadi nchini Morocco.

Advertisement

Kwa upande wa wale wa kimataifa watatokea kwenye mataifa yao na kuungana na timu ikiwa Morocco.

Back to homepage
Share this story