Kikosi kilitakiwa kuondoka jana lakini Ndege tuliyokuwa tunasafiria ilipata hitilafu iliyofanya safari kushindwa kuendelea.
Timu inatarajia kufika leo jioni ambapo itapitia Qatar kabla ya kuunganisha hadi nchini Morocco.
Advertisement
Kwa upande wa wale wa kimataifa watatokea kwenye mataifa yao na kuungana na timu ikiwa Morocco.