Simba Sports Club
News

Kikosi cha Simba Queens kilichopangwa kuikabili Ceasiaa Queens

4 Feb 2025

Queens itaingia kwenye mchezo wa leo ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 4-2 iliyopata dhidi ya Fountain Gate Princess katika mchezo uliopigwa Uwanja wa Tanzanite Kwaraa wiki iliyopita.

Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:

Janeth Shija (30), Fatuma Issa (5), Wincate Kaari (29), Violeth Nicholaus (26), Ruth Ingosi (20), Esther Mayala (23), Elizabeth Wambui (4), Vivian Corazone (17), Jentrix Shikangwa (25), Aisha Juma (10), Precious Christopher (8).

Advertisement

Wachezaji wa Akiba:

Gelwa Yonah (21), Shelda Boniface (9), Emeliana Mdimu (15), Janeth Nyagali (12),

Mwanahamisi Omary (7), Asha Rashid (14), Amina Bilali (11), Ritticia Nabbosa (27), Asha Djafari (24).

Back to homepage
Share this story