Queens ambayo inaundwa na mchanganyiko wa wachezaji wageni na wazoefu ambao lengo lake la kwanza msimu huu ni kutwaa ubingwa.
Hiki hapa kikosi kamili kilichopangwa:
Janeth Shija (30), Zainah Nandede (11), Dotto Evarist (2), Emeliana Mdimu (15), Ruth Ingosi (20), Zanga Brice (20), Aisha Mnunka (10), Elizabeth Joseph (21), Jentrix Shikangwa (25), Fasila Adhiambo (29), Zawadi Usanase (18).
Advertisement
Wachezaji wa Akiba
Ruth Aturo (1), Asha Omary (12), Janeth Nyagali (7), Elizabeth Wambui (4), Mtunzi (16), Vivian Corazone (17), Amarachi (19), Umutesiwase Magnifique (26), Elizabeth Nashon (6).