Kama kawaida Kocha Sebastian Nkoma ameanza na kikosi kile kile ambacho kimekuwa kikitupatia ushindi kwenye mechi zetu zote.
Licha ya kuwa kwenye kiwango bora zaidi ya wapinzani wetu lakini hii ni Derby na lolote linawezekana hivyo hatutaingia kwa kuwadharau.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
1. Gelwa yonah GK (21)
2. Silvia Mwacha (12)
3. Violeth Machela (3)
4. Wema Richard (13)
5. Julieth Singano (19)
6. Fatuma Issa (5)
7. Olaiya Barakat (9)
8. Joelle Bukuru (18)
9. Pambani Kuzoya (17)
Advertisement
10. Jackline Albert (16)
11. Asha Djafar (24)
Wachezaji wa Akiba
1. Janeth Shija GK (30)
2. Maimuna Hamis (28)
3. Mercy Tagoe (27)
4. Koku Kipanga (22)
5. Aisha Juma (10)
6. Violeth Nicholaus (26)
7. Amina Ramadhan (25)
8. Zubeda Mgunda (8)