Tunaingia katika mchezo wa leo tukiwa na lengo moja la kupambana kuhakikisha tunashinda na kuchukua ubingwa na kuandika historia.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
Gelwa Yonah (21), Diana William (15), Fatuma Issa (5), Esther Mayala (23), Daniella Kanyanya (22), Vivian Corazone (4), Pambani Kuzoya (17), Joelle Bukuru (18), Opa Clement (7), Aisha Juma (10), Asha Djafari (24)
Advertisement
Wachezaji wa Akiba
Zubeda Mgunda (29), Doto Evarist (11), Violeth Nicholaus (26), Silvia Thomas (12), Sarrive Badiambila (2)Olaiya Barakat (9), Topister Situma (13), Philomena Abakah (27), Amina Ramadhani (14).