Simba Sports Club
News

Kikosi cha Queens kitakachotuwakilisha dhidi ya AS Kigali Women

24 Aug 2022

Queens itaingia kwenye mchezo wa leo ikiwa na lengo moja la kupambana kuhakikisha tunashinda na kutinga fainali baada kushinda mechi zote za hatua ya makundi.

Kikosi Kamili Kilivyopangwa

Zubeda mgunda (29), Diana William (15), Fatuma Issa (5), Esther Mayala (23), Daniella Kanyanya (22), Vivian Corazone (4), Philomena Abakah (27), Joelle Bukuru (18), Opa Clement (7), Aisha Juma (10), Asha Djafari (24).

Advertisement

Wachezaji wa Akiba

Gelwa yonah (21), Doto Evarist (11), Violeth Nicholaus (26), Silvia Thomas (12), Sarrive Badiambila (2), Olaiya Barakat (9), Topister Situma (13), Pambani Kuzoya (17)

Amina Ramadhani (14).

Back to homepage
Share this story