Nahodha Opa Clement ataendelea kuongoza mashambulizi akisaidiana na Aisha Juma, Pambani Kuzoya na Jentrix Shikangwa.
Kikosi Kamili kilivyopangwa
Janeth Shija (30), Daniela Mgoyi (22), Diana Mnali (15), Violeth Nicholas (26), Ruth Ingosi (20), Joelle Bukuru (18), Koku Ally (19), Pambani Kuzoya (17), Aisha Juma (10), Opa Clement (7), Jentrix Shikangwa (25).
Advertisement
Wachezaji wa Akiba
Gelwa Yohan (21), Esther Mayala (23), Dotto Evarist (11), Asha Djafar (24), Vivian Corazone (4), Amina Hemed (14), Philomena Abakah (6), Olaiya Barakat.